Skip to main content

Posts

Featured

MADAWAA YA KULEVYA

  Madawa ya kulevya        ni   hatari   sana kwa   binadamu   kwa kuwa husababisha   magonjwa   kama   mapafu   na kuharibu   utindio wa ubongo . Mfano wa madawa hayo ni kama  kokaini heroini bangi miraa .      Kuna watu wengi walioathiriwa na madawa ya kulevya, lakini yanazidi kuenea kwa sababu ni  biashara  kubwa inayoingiza  pesa  nyingi.      Serikali  inatakiwa kutoa  elimu  kuhusiana na  madhara  yatokanayo na matumizi ya madawa ya kulevya, kwani ni hatari kwa maisha ya binadamu na kwa  jamii .     Mara chache yanaweza kusaidia  wagonjwa  kwa kuwafanya wasisikie maumivu makali mno.

Latest Posts